Mpiga picha wa kujitengemea ambaye jina lake halikupatikana haraka akimuweka sawa mteja wake wakati akimchukua picha kwa ajili ya matumizi mbalimbali kama alivyokutwa na Kamera ya Globu jamii katika moja ya viunga vya Mji wa Dodoma mchana huu.
Mteja keshakaa sawa na picha inapigwa.
muda mfupi baadae mteja mwingine kaingia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...