Mwenyekiti ya bodi ya taasisi ya Haki elimu nchini, Profesa Martha Qorro akifungua pazia kuashira uzinduzi wa dira ya mwaka 2017 mpaka 2021 nchini.

 Mwenyekiti ya bodi ya taasisi ya Haki elimu nchini, Profesa Martha Qorro akihutubia wakati wa mkutano wa uzinduzi wa Dira ya tasisi hiyo kuanzia 2017-2021.
 Mkurugenzi wa taasisi ya haki elimu nchini,John Kalaghe akizungumza wakati wa mkutano wa uzinduzi wa Dira ya haki elimu 2017-2021.
 Baadhi ya wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari walioshirikikatika uzinduzi huo wakifatilia kwa makini.
 Picha ya Pamoja ya wajumbe wa bodi wa taasisi ya Haki elimu na wadau muhimu kwa tasisi hiyo.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...