Pamoja na kutambua kazi kubwa iliyofanywa na Asasi za kiraia kwa kuweza kutoa Elimu ya mpiga kura na kuwahamasisha wananchi wote na wale wanaoishi maeneo yasiyofikika kwaurahisi kuweza kushiriki katika zoezi la upigaji kura.
Bado kulijitokeza changamoto za uelewa kuhusu alama sahihi inayohitajika kuwekwa katika karatasi za kura. Baadhi ya wapiga kura walikuwa wanaweka alama ya V kwa mgombea wanayemtaka na kuweka alama X kwa mgombea asiyemtaka na hivyo kupelekea kura nyingi kuharibika. BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
Washiriki kwenye mkutano. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...