SIMU.TV: Wafuasi CHADEMA wachoma nyumba. Wazee walilia uwakilishi bungeni. RC Tanga kubomoa shule za udongo Mkoani mwake. Matrafiki 53 waondolewa barabarani; https://youtu.be/4Mrtl3LG9bg
SIMU.TV: Yanga full kazi, Pluijm aja na staili ya chinja chinja Yanga. Kavumbagu atuma salamu. Majwega kazi ipo Simba; https://youtu.be/M7MynF0iqcQ
SIMU.TV: Kesi ya kuzushiwa ugonjwa Jenerali Mwamunyange yaanza kusikilizwa. Kigogo Kenya matatani kwa kumfuata Rais Magufuli; https://youtu.be/BeTdWV6KiDc
SIMU.TV: Wabunge mtegoni. Maofisa kumi wawekwa rumande Dar, Wanafunzi waliopata mimba sasa kurejea shuleni. Papa abariki kwa Kiswahili; https://youtu.be/kBEZ-mHtWGM
SIMU.TV: Jaji wa Escrow kusikiliza kesi ya ubunge wa Kafulila. Safari za ndani za vigogo siku ya UKIMWI kufutwa.Mh. MAjaliwa anamaanisha; https://youtu.be/YGX_5Ekt8g0
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...