Wachuuzi wa Samaki wakisubiri kununua kitoweo katika Soko la samaki la Wilaya ya Bagamoyo, Bei ya samaki katika soko hilo imeongezeka kutokana kupatikana na shida kutokana na mabadiliko ya hali y Hewa.
Mvuvi akiwauzia wachuuzi samaki katika soko la samaki la wilaya ya Bagamoyo.
Mwananchi akiwa amepumzika kando ya soko la samaki la wilaya ya bagamaoyo. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...