Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Mazungumzo yakiendelea
 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake, Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. kushoto ni Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 "Byeee" Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke, akimuaga Katibu Mkuu wa CCM Komredi Kinana wakati akiwa tayari kuondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Saslaam, leo. Kulia ni Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...