Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH) ) Agnes Mtawa akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Robert Mallya funguzo za baadhi ya wodi zilizopo ndani ya  jengo la wodi ya watoto  ambazo Hospitali hiyo imezitoa kwa JKCI ili wazitumie kutokana na   uhaba wa wodi ya watoto walionao.
 Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH) ) Agnes Mtawa akitoa maelezo kwa viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuhusu wodi zilizopo ndani ya jengo la watoto ambazo  Hospitali hiyo imezitoa kwa Taasisi hiyo  ili wazitumie kutokana na uhaba wa wodi ya watoto walionao.
 Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH) ) Agnes Mtawa kuangalia wodi zilizopo ndani ya jengo la wodi ya watoto ambazo  Hospitali hiyo imezitoa kwa Taasisi hiyo  ili waweze kuzitumia kutokana na uhaba wa wodi ya watoto walionao.
 Wodi zilizopo ndani ya jengo la wodi za watoto ambazo  Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imezitoa kwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  ili wazitumie kutokana na uhaba wa wodi ya watoto walionao.

Picha na JKCI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...