MKURUGENZI Mkuu wa Tpb Bank Sabasaba Moshingi
kushoto na Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Jamii Zanzibar (ZSSF) Makame Mwadini
wakitiliana saini makubaliano ya kutowa mikopo ya Kielimu na Kuazia Maisha kwa
Wanachama wa (ZSSF)hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa ZSSF kilimani
Zanzibar, wakishuhudia Mwanasheria wa ZSSF Mohammed Fakih na Afisa Mawasiliano
wa Tpb Bank Chichi Banda
Mkurgenzi
Mkuu wa Tpb Bank Sabasaba Moshingi
kushoto akibadilishana mikataba wa mikopo kwa Wanachama wa ZSSF kupata
mikopo kupitia Banki ya Tpb Bank, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa
Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Mwadini Makame, kuwawezesha kupata
Mkopo wa Elimu ya Juu na kuaza maisha kwa Wanachama wa ZSSF, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Ofisi za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Kilimani
Zanzibar.wakiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa pande hizo mbili.
Maofisa
wa Tpb Bank wakifuatilia mkutano huo wa utilianaji saini ya kutowa
mikopo kwa Wanachama wa ZSSF Zanzibar kupitia benki hiyo hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Ofisi za ZSSF Kilimani Zanzibar.
Maofisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF wakifuatila mkutano huo wa utilianaji wa saini.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...