TOLEO
Na. 8 LA JARIDA LA WIZARA YA ARDHI , NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
Wizara ya Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi imetoa jarida lake la mwaka (Toleo Na. 8). Jarida hili
haliuzwi. Kuna nakala chache ambazo zinapatikana Wizarani katika Kitengo cha huduma
kwa mteja. Aidha, kutakuwa na nakala nyingine chache ambazo zitasambazwa katika
maeneo mbalimbali kama; Wizarani na katika Ofisi za Halmashauri nchini.
Jarida hili litapatikana pia
hivi karibuni kwenye tovuti ya Wizara (www.ardhi.go.tz).
Mwananchi pata nakala yako
upate kuhabarika kuhusu shughuli na matukio mbalimbali ya Wizara.
Na.
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Makazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...