Tamasha la 35 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, limeendelea kukonga nyoyo za wakazi wa mji wa Bagamoyo na maeneo ya jirani ikiwa ni muendelezo burudani za kila siku tangu lilipofunguliwa mwanzoni mwa wiki hii, tamasha hilo limesheheni madhari halisi ya Muziki na ngoma mbalimbali za kiasili, Sanaa za Uchoraji na Uchongaji pamoja na Sanaa za Sarakasi na Maigizo mengi ya kuvutia na ya aina yake, linandelea kufanyika katika Kumbi za Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa) Mkoani Pwani, huku likitazamiwa kufikia tamati siku ya Jumapili Oktoba 2, 2016. Zifuatazo ni picha za kuvutia za matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea kwenye Tamasha hiyo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...