Ofisa Mauzo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Fredrick Sawaki (kulia), akitoa maelezo kuhusu mafao yatolewayo na NSSF kwa wananchi waliotembelea banda la shirika hilo wakati wa  maonessho ya Viwanda vya Tanzania yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).

 Ofisa Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Sarah Mazengo (kushoto), akitoa maelezo kuhusu mafao yatolewayo na NSSF kwa wananchi waliotembelea banda la shirika hilo wakati wa  maonessho ya Viwanda vya Tanzania yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakiwa katika banda la NSSF.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...