Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara (Mtwara Technical Secondary School) yamewaka  moto asubuhi ya leo na kuteketea kabisa. Hakuna mtu aliyepata madhara kwani shule zimefungwa na hakukuwa na wanafunzi. Chanzo cha moto bado hakijajulikana. Polisi wanaendelea na uchunguzi
 Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara yakiwaka  moto leo asubuhi.
 Bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Mtwara likiteketea kwa moto leo. Chanzo cha ajali hiyo hakikuweza kujulikana  mara moja.
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakijitahidi kuzima moto huo
 Askari wa kikosi cha Zimamoto wakijitahidi kuzima moto huo
PICHA ZOTE NA SIJAWA OMARI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...