Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara (Mtwara Technical Secondary School) yamewaka moto asubuhi ya leo na kuteketea kabisa. Hakuna mtu aliyepata madhara kwani shule zimefungwa na hakukuwa na wanafunzi. Chanzo cha moto bado hakijajulikana. Polisi wanaendelea na uchunguzi
Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara yakiwaka moto leo asubuhi.
Bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Mtwara likiteketea kwa moto leo. Chanzo cha ajali hiyo hakikuweza kujulikana mara moja.
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakijitahidi kuzima moto huo
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakijitahidi kuzima moto huo
PICHA ZOTE NA SIJAWA OMARI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...