Ndoa inayotarajiwa  kufungwa  inaweza kuzuiwa kwa pingamizi. Sheria ilishaweka  utaratibu maalum  wa  kuzuia  ndoa  kufungwa  kwa  wale  wenye malengo  ya  kufanya  hivyo. Badala  ya kutumia  fujo ,mabaunsa na hila zisizo  za kisheria  kuzuia ndoa  au harusi  waweza  kutumia njia halali ya kisheria  na  ukafanikiwa  kuzuia  ndoa  kufungwa.
Fujo  na hila zisizo  za  kisheria katika kuzuia  ndoa zaweza  kukuletea   madhara makubwa na  hata  jinai. Ya nini  basi ufanye  hivyo   wakati   ipo  namna halali na salama ya  kuzuia .Sababu  zipi  unaweza kutumia kuzuia na  mengine  tutaona  hapa chini. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...