Rais wa chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) bi.Feddy Mwanga akizungumza leo na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu maadhimisho ya siku ya mkunga duniani yatakayofanyika kesho , jijini Dar es Salaam, Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania Dkt. Sebalola Leshabari .
Katibu Mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) Dk. Sebalola Leshabari akiwasilisha maada katika mkutano wa kuelekea maadhimisho ya Mkunga Duniani, uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wadau mbalimbali waliofika kwenye mkutano wa kuelekea maadhimisho ya siku ya mkunga duniani, uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu, Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2016

    samahani sana lakini wakunga wengi ni watu makatili sana sijapata kuona , ingawa kutokana na majukumu waliyopewa na jamii wanatakiwa kuwa wenye huruma na upendo kinyume chake huwa madhalimu na wanyanyasaji wakubwa katika kazi zao, kama huamini Michuzi hebu kafanye uchunguzi kwa njia zako kule leba wodi muhimbiri kuna chumba kinaitwa kariakoo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...