WAFANYABIASHARA waasa kulipa kodi  kwa kuto kulipa kodi ni kinyume cha sheria kwani huleta kuleta msukumo kwa Mamlaka ya Mapato kukusanya wa mapato ya serikali ili fedha hizo zitumike kwa matumizi yaliyokusudiwa.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango wakati akizungumza na wafanyabiashara jijini Dar es Salaam leo.

Pia amesema kuwa   wafanyabiashara wanatakiwa kushirikiana na serikali ya awamu ya tano katika ukusanyaji mapato ili kujenga mazingira bora ya wafanyabiashara.

Mpango amewaomba wafanyabiashara kutumia mashine za EFD ili kuongeza mapamo ya serikali wanampango wa kununua Mashine za EFD ili kuwapa wananchi ambao hawajaanza kuzitumia kwaajili ya kukusanya mapato ya serikali.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango akizungumza na wafanyabiashara leo katika ofisi za wizara ya Fesha jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya sekta binafsi (TPSF), Salum Shamte.
 Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya sekta binafsi (TPSF), Salum Shamte akizungumza na wafanyabiashara  waliokusanyika leo katika ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.
 Baadhi ya wafabiashara wakimsikiliza Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...