Watu zaidi ya elfu 3 mkoani Morogoro hawana mahali pa kuishi baada ya kukumbwa na mafuriko kutokana mvua kubwa zinazonyesha. https://youtu.be/ic2oVMB3O9I
Rais John Mafuguli atoa jibu la mkwamo wa kisiasa visiwani Zanzibar huku akivitaka vyama vya upinzani vilivyosusia uchaguzi wa marudio kubadili maamuzi yao na kushiriki uchaguzi huo.https://youtu.be/6qu3UUvr1FU
Serikali yaanza kutoa semina elekezi kwa maafisa watendaji wakuu wa serikali, maafisa waandamizi wa serikali kuu na serikali za mikoa na maafisa wa juu wa jeshi juu ya umuhimu wa usalama wa taifa na uzalendo. https://youtu.be/_CwAyYtAi2M
Mpango wa taifa wa damu salama nchini wazindua kituo kidogo cha uchangiaji damu salama kilichopo Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es salaam. https://youtu.be/5S_GePdQI0w
Mawaziri wa zamani Basil Mramba na Daniel Yona waanza kutumikia kifungo cha nje kwa kufanya usafi katika hospitali ya Sinza Palestina kwa kukabidhiwa vifaa vya usafi. https://youtu.be/-MuytyZ3LmI
Rais John Magufuli atimiza ahadi ya kuipatia wizara ya katiba na sheria fedha kiasi cha zaidi ya bilioni kumi na mbili;https://youtu.be/_-3u9O7rDKI
Kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi yafanya uteuzi upya za nafasi mbalimbali za uongozi zilizowazi katika ngazi ya mkoa na wilaya;https://youtu.be/rNB-G4VQKwY
Waziri wa nishati na madini Prof.Sospeter Muhongo amuagiza wakala wa umeme vijini REA kuhakikisha wasambazaji wazawa wanaosambaza umeme vijijini wanapewa kipaumbele;https://youtu.be/_QS5oagrgyc
Mahakama ya ardhi mkoani Arusha yaagizwa kushughulikia kesi za migogoro ya ardhi kwa wakati; https://youtu.be/H0J4OW27F0E
Serikali yawataka mabalozi na wawakilishi wa kimataifa waliopo nchini kufuata sheria na taratibu za nchi;https://youtu.be/mQIofKGEjTM
Wakala wa vipimo nchini WMA yasema inazidai kampuni zaidi ya 15 shilingi bilioni 4 kama ada ya kupimiwa mafuta;https://youtu.be/sctbO9x3g5s
Inaelezwa kuwa kasi ya mfumko wa bei wa taifa kwa mwezi januari mwaka huu yashuka kwa asilimia 0.3;https://youtu.be/kco7st5AZAk
Wachezaji wa soka nchini washauriwa kuzingatia suala la nidhamu ili kuweza kufikia malengo yao; https://youtu.be/NiTAOuJ-XNE
Jeshi la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuuza tiketi feki katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara baina ya Maji maji FC na Mgambo JKT;https://youtu.be/SSwo8eJZ9T4
Timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yatwaa kombe la CHAN baada ya kuitandika timu ya taifa ya mali kwa jumla ya goli 3-0; https://youtu.be/0wUtd3-senI
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohammed Shein atoa wito kwa mahakama visiwani humo kutoa haki kwa wakati;https://youtu.be/5uPUXhhqUmU
Inaelezwa kuwa wazee viswani Zanzibar wanakabiliwa na changamoto ya huduma ya usafiri; https://youtu.be/ukzg7jjj4AQ
Wananchi wa vijiji vya Makunduchi visiwani Zanzibar washauriwa kujitokeza kwa wingi kupima afya bure kupitia wataalam wa afya wanaokwenda kuwatembelea; https://youtu.be/Q0cJ4QGEiXY
Waliokuwa mawaziri waastafu wa serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba pamoja Daniel Yona waanza kutumikia adhabu ya kifungo cha nje kwa kufanya usafi katika maeneo ya kijamii;https://youtu.be/hsXrvLUMUMc
Kaya zaidi ya 20 wilayani Uyui mkoani Tabora hazina makazi kutokana na nyumba zao kubomoka kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo; https://youtu.be/_e4xTb8jlSk
Inaelezwa kuwa takwimu za kina zinahitajika katika kupambana na kukomesha suala la ukeketaji nchini; https://youtu.be/0-MZbOs2ADw
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...