Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiongozana na Mchungaji wa Usharika wa Nronga,Jorome Kimaro ,kulia kwake ni katibu na meneja wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga Heln Ainea alipotembelea Chma hicho. 
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiteta jambo na Katibu wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga Helen Ainea wakati wa mkutano mkuu wa 28 wa Ushirika huo uliofanyika katika kiwanda cha zamani cha maziwa cha ushirika huo. 

Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza na wanachama wa chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wakati wa mkutano mkuu wa 28 wa Ushirika huo. 
Mkuu wa wilaya ya Hai,Athony Mtaka akitizama bidhaa ya maziwa katika kiwanda cha Ushirika huo kilichopo Nronga -Machame. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...