Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akipokea Tunzo ya dhahabu iliyopewa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
kutoka kwa Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana na Watoto Bibi
Zainab Omar Mohamed ( Gold Future Policy Award ) kwa mwaka 2015) ambayo
imetolewa na Taasisi ya kimataifa ya World Future Council katika Mji
wa Geneva Uswizi tarehe 20 Oktoba, 2015 baada ya Sheria ya Watoto ya
Zanzibar ya Mwaka 2011 kuzishinda sheria za Nchi nyingine zaidi ya 20
kwa kukidhi vigezo vilivyoshindaniwa,hafla ya makabidhiano hayo
ilifanyika leo Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiiangalia Tunzo ya dhahabu iliyopewa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana
na Watoto Bibi Zainab Omar Mohamed ( Gold Future Policy Award ) kwa
mwaka 2015) ambayo imetolewa na Taasisi ya kimataifa ya World Future
Council katika Mji wa Geneva Uswizi tarehe 20 Oktoba, 2015 baada ya
Sheria ya Watoto ya Zanzibar ya Mwaka 2011 kuzishinda sheria za Nchi
nyingine zaidi ya 20 kwa kukidhi vigezo vilivyoshindaniwa, hafla ya
makabidhiano hayo ilifanyika leo Mjini Unguja.
Home
Unlabelled
RAIS WA ZANZIBAR AKABIDHIWA TUZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...