SIMU.TV: Maafisa ardhi 10 wa wilaya ya Kinondoni wamekamatwa na kuwekwa rumande baada ya kuchelewa kufika eneo lenye mgogoro wa Ardhi. https://youtu.be/03ceWrnJtSk
SIMU.TV: Mahakama kuu kanda ya Mwanza inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kupinga zuio la Jeshi la polisi kuaga mwili wa Marehemu Alphonce Mawazo. https://youtu.be/L8YlgPLzdso
SIMU.TV: Mwenyekiti wa ulinzi na usalama Babati Manyara aliagiza jeshi la polisi kuwakamata Viongozi kwa tuhuma za kufanya njama ya uzulumaji. https://youtu.be/aucSylfeIF4
SIMU.TV: Kamati ya afya visiwani Zanzibar imefanya ziara ya kushitukiza katika masoko ya chakula na kukuta hali ya usafi isiyoridhisha inayoweza kupelekea milipuko ya magonjwa. https://youtu.be/OKiNE6GSXqA
SIMU.TV: Chama cha soka Mkoani Geita kimeingia mkataba na aliyekuwa Kocha wa klabu ya Simba Suleiman Matola ili kukinoa kikosi hicho; https://youtu.be/SPWOhuh1Q-8
SIMU.TV: TFF ikishirikiana na FIFA imeandaa tamasha la mpira wa miguu ambalo limelenga kuhamasisha wanawake kushiriki katika mchezo huo; https://youtu.be/SvnB0bA5Dw4
SIMU.TV: Chama cha soka Mkoani Geita kimeingia mkataba na aliyekuwa Kocha wa klabu ya Simba Suleiman Matola ili kukinoa kikosi hicho;https://youtu.be/SPWOhuh1Q-8
SIMU.TV: Barcelona wamechomoza kwa ushindi wa magoli sita kwa moja dhidi ya timu ya AS Roma katika uwanja wa nyumbani kwao: https://youtu.be/MGS_ZmPAva4
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...