Muandaaji wa matamasha hapa nchini Alex Msama akizungumza na
waandishi wa habari leo kuhusiana na maandalizi ya tamashala kuombea amani
kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. pia amesema kuwa katika tamasha hilo litahuzuliwa na watu mbalimbali akiwemo mwimbaji mahili wa nyimbo za Injili hapa nchini Rose Mhando pamoja na Solomoni mwimbaji wa nyimbo hizo Solomon Mkubwa ameyasema hayo katika ofisi zake zilizopo kinondoni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa kamati ya
maandalizi ya tamasha la kuombea amani,Beno Chelele.
Muandaaji wa matamasha hapa nchini Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na maandalizi ya tamashala kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. Pia amewaomba watanzania kumuunga mkono katika tamasha hilo litakalofanyika Oktoba 4 mwaka huu jijini Dar es Salaam.Msama alisema, mbali ya kuuombea uchaguzi mkuu, Tamasha hilo pia litatumika kumuaga rasmi Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ambaye amekuwa mdau mkubwa wa muziki wa injili hapa nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...