Mkurugenzi wa Habari, Mawasiliano na Uenezi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dr. Vedast Makota (kulia), akifungua rasmi warsha ya siku mbili ya mafunzo kwa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, kuhusu jinsi ya kuandaa habari za Mazingira, akifungua kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Mhandisi Bonaventure Baya, iliyofanyika katika ukumbi wa Kibo Palace Hotel Mjini Morogoro. Aliyekaa kushoto ni Mwenyekiti wa mkutano huo aliyechaguliwa Bw. Wallace Maugo ambaye pia ni Mhariiri Mtendaji wa gazeti la The Guardian Limited.
Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kwa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, wakisikiliza kwa makini hotuba inayotolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dr. Vedast Makota (hayupo pichani).
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dr. Vedast Makota, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...