Afisa masoko wa
DCB Benki Hildegard Mehrab akiwa akitoa elimu juu ya huduma wanazozitolewa pamoja na Mikopo ya Nyumba Mikopo y Biashara,Mikopo ya wafanya kazi, pamoja na mikopo ya Vikundi pia wanafungua Akaunti za akauti ya
Akiba akauti ya watoto na akauti ya kampuni akauti ya kikundi.
Afisa mkaguzi wa DCB benki., Mariam Migetto, akitoa
elimu juu ya huduma wanazozitowa DCB benki na Mikopo ya Nyumba, Mikopo y
Biashara, Mikopo ya wafanya kazi pamoja
na mikopo ya Vikundi pia wanafunguwa Akaunti zifyatazo akauti ya
Akiba akauti ya watoto akauti ya kampuni akauti ya kikundi .Picha na Emmanueli Massaka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...