Meneja
wa benki ya Exim tawi la Exim Tower, Bi. Rose Kanijo (kushoto),
akikabidhi zawadi ya iPhone 6 kwa mshindi wa droo ya kwanza ya kampeni
ya Akaunti ya Malengo inayoendeshwa na benki hiyo, Bw, Prabhjot Singh,
mkazi wa Dar es Salaam katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika
makao makuu ya benki ya Exim jijini Dar es Salaam jana. Kampeni hiyo
inayoendelea kwa miezi mitano zaidi, inalenga kuhamasisha utamaduni wa
kujiwekea akiba miongoni mwa Watanzania.
Home
Unlabelled
BENKI YA EXIM YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...