Pichani ni Gari mbili zikijaribu kulipita lori kwenye sehemu yenye kona, huku pembeni kule wazee wa feva wakiwa hawana habari. Hapa ni nje kidogo na mji wa Same, Mkoani Kilimanjaro.
 Pamoja na kuwepo na kibao cha tahadhali, lakini dereva wa gari hii hata hakujali na kuamua kulipita lori lililokuwa mbele yake.
 Hivi ndivyo mambo yanavyokuwa wakati mwingine, kwenye barabara zetu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2015

    hawa madreva ni mizingo ya nchi

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 30, 2015

    sasa hapa Vyombo vya usalama wanataka ushahidi gani tena kuwakamata hawa wauwaji? ajali zimeua kuliko malaria, ukimwi na ujambazi. Huu ni uhalifu na haupashwi kuvumiliwa. Actualy huyu aliepiga hizi picha anatakiwa apewe zawadi walau pesa au cheti cha kutambua kazi yake ya kufichua maovi na hii itawapa wananchi motisha ya kufichua maovu. Kila mtu ni mlinzi wa mwenzake. Nashauri Kamanda mpinga amtafute mpiga picha ampe zawadi. NGOs zinazopambana na ajali zimtafute apewe zawadi, Mamlaka ya kusimamia usafiri pia futa leseni ya hiyo Buffalo tunajua ni la Polisi kamanda wa zamani wa mkoa wa Kilimanjaro lakini lifutie leseni bila kujali na dereva akamatwe. Tutaendelea kuchinjwa na hizi ajali hadi Lini?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 30, 2015

    3hapo wazee wa feva mmewaonea bure. Mctari wabarabarani kwa macho yangu unaruhusu kupita hapo

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 30, 2015

    Madereva tunahitaji kuwa waangalifu barabarani ajali hizi haziui na kujeruhi tu waliomo kwenye gari, bali jamii zao zinaathirika pakubwa wanapopoteza wapendwa wao ambao wengine wao ndiyo wahimili wa familia hizi kimapato.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 30, 2015

    Someone has to put the fear of God in these people
    Hii inatisha sana, na shangaa kuwa hawajauwa zaidi.
    This is a problem and they say every problem has a solution.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 31, 2015

    Tanzania ni li nchi lisilo na sheria. nchi eti haina mapato mnataka vyazo vipi tena.SASA hivi kwa utanawazi huu wekeni website ya kufichua hawa waovu kwani sasa kila mtu ana kamera harafu sheria iwe exceptional watanzania tukatae rushwa eneo hili. Michuzi piga kampeni iwepo web ya kufichua hawa waharamia wa barabarani na sheria itungwe kutumia ushahidi wa hiyo web.

    ReplyDelete
  7. GHovewrnment iwa congtract wamarekani kufanya upolisi. Waone kazi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...