Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Afya na Utalii kutoka Australia Magharibi Kim Hames (kushoto) akimweleza Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) maeneo ambayo nchi ya Australia ingependa kuwekeza.
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akimshukuru Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Afya na Utalii kutoka Australia Magharibi Kim Hames (kushoto) mara baada ya kumkabidhi zawadi. Wengine ni ujumbe ulioambatana na Naibu Waziri Mkuu huyo.
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene ( wa pili kutoka kulia) Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Afya na Utalii kutoka Australia Magharibi Kim Hames ( wa tatu kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Australia uliohudhuria kikao hicho.
Na Greyson Mwase, Dar es Salaam
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene ameitaka nchi ya
Australia kuimarisha uwekezaji katika sekta za nishati na madini nchini
ili ziweze kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi.
Simbachawene aliyasema hayo katika kikao chake na Naibu Waziri Mkuu
wa Australia Magharibi, Kim Hames na ujumbe wake aliyemtembelea
ofisini kwake kwa ajili ya kupata taarifa za maeneo yanayohitaji uwekezaji
nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...