Mwenyekiti wa maandalizi taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd Habibu Masano akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO JIJINI Dar es Salaam leo, wakati wa kutoa taarifa ya uzinduzi wa Kalenda ya Kiislam itakayo tumiwa na madhehebu yote ya Dini ya Kiislam duniani,inayotarajiwa kuzinduliwa Juni 7 Mwaka huu katika viwanja vya Karimjee jijiji Dar es Salaam.
Mratibu wa taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd,Abasi Said Mzeri akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa wa maandalizi wa taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd, Habibu Masano,Mjumbe wa Taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd,Kalama Mkali na wa mwisho ni Mjumbe wa taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd,Salumu Lukungu.PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...