Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akionyesha
kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua
leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu
(ISI) Bw. Vijay Nair na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu
(NBS).
Waziri
Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akizindua kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya
Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto
ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu (ISI) Bw. Vijay Nair na Mkurugenzi
Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kushoto kwa Waziri Mkuu na Prof. Ben
Kiregyeza (kulia) ambaye ndiye mwandishi wa kitabu hicho.
Waziri Mkuu
Mhe. Mizengo Pinda akifungua Kongamano
la Kimataifa la Siku 3 la Wakuu wa Taasisi za Takwimu wa nchi 38 za Afrika na 18
kutoka nje ya Bara la Afrika leo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi
Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa awali akizungumza na Wakuu
wa Taasisi za Takwimu wa nchi 38 za Afrika na 18 kutoka nje ya Bara la Afrika
waliohudhuria Kongamano la Siku 3 la Kimataifa kujadili Matumizi ya Takwimu leo
jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...