Kaimu Meneja Mauzo Kanda ya Ziwa wa Airtel Bwana David Wankuru
akimkabithi gari aina ya Toyota IST bwana Kijiji Gweso ambaye ni Mvuvi
na mkazi wa wilaya ya Sengerema Mwanza mara baada ya kuibuka mshindi
wa promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa
Airtel,Bi. Jane Matinde.
Mshindi wa gari kupitia promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Bwana
Kijiji Gweso akifungua gari mara baada ya kukabidhiwa gari na Airtel
mara baada ya kuibuka mshindi, Bwana Gweso ni Mvuvi na mkazi wa wilaya
ya Sengerema Mwanza. akishuhudia ni Kaimu Meneja Mauzo Kanda ya Ziwa
wa Airtel David Wankuru.
Mshindi wa gari kupitia promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Bwana
Kijiji Gweso akiwa ndani ya gari yake mara baada ya kukabidhiwa gari
na Airtel mara baada ya kuibuka mshindi, Bwana Gweso ni Mvuvi na mkazi
wa wilaya ya Sengerema Mwanza.
Gari itasaidia kufikisha samaki sokoni.
ReplyDelete