Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa
maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28,
2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais
Francois Hollande katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs
L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo
na mwenyeji wake kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande
Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano
jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois
Hollande.
PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...