Eng. Ahmed Dau akila pozi baada ya kulamba Nondozzzz ya Masters of Science Degree in Petroleum, Energy, Economics and Finance katika Chuo Kikuu cha Aberdeen
 Eng. Ahmed na Wazazi wake Dr Ramadhani K Dau na Mrs Zeinab Dau Kwenye mahafari Chuo Kikuu cha Aberdeen 
Waliosimama kutoka kushoto Meya wa London Haruna Mbeyu, Abdul Dau, Mohamed Janguo, Kheri Mahimbali (MSc oil and gas class of Feb 2014 Aberdeen). Walioketi kutoka kushoto Dr Ramadhani K Dau, Eng. Ahmed Dau na Mrs Zeinab Dau.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Mayor wa London?

    ReplyDelete
  2. Mashaalah!
    Many congratulations indeed. .
    A Jaad & family.

    ReplyDelete
  3. Congratulations I must be a softie really, for when I see wananchi achieving such academic prizes a light is switched on in my heart, We are on a roll, the beat goes on!!!

    ReplyDelete

  4. You the graduates are a national asset. The timing couldn't be better. Go and make us proud!

    Congrats graduates and congrats Dr. & Madam Dau!



    ReplyDelete
  5. Hongera Ahmad.kwa kula nondozzi.rudi nyumbani ujenge nchi kwenye sekta ya Mafuta na Gesi

    Mdau

    Safia Kiliza, Lewisham

    ReplyDelete
  6. Maa Shaa Allah, you must be first in your field ,and what a perfect timing for Tanzania, a sought after Proffession. Many congratulations Engineer Ahmad.
    Mariam.

    ReplyDelete
  7. Maa Shaa Allah, Many congratulations Engineer Ahmad.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...