Kaimu Mkurugenzi, Kurugenzi ya Usimamizi na Uendeshaji wa Mashauri kutoka
Mahakama ya Tanzania Bw. John Kahyoza akiwaeleza waandishi wa (hawapo
pichani) mikakati iliyoweka iliyowekwa na Mahakama ya Tanzania ili kutekeleza
dira yake ya haki sawa kwa wote na kwa wakati kwa vitendo, kwa kuhakikisha
inapunguza muda wa mashauri kukaa mahakamani, wakati wa mkutano
uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Mahakama ya
Tanzania Bi. Mary Gwera.
Picha na Hassan Silayo-maelezo
Home
Unlabelled
Mahakama ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...