Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akiifungia
timu yake bao la pili wakati timu hiyo ilipopambana na Coast Union ya Tanga
katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa
Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Coast Union, Abdallah Mfuko.
Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akiruka daruga la beki wa Coast Union.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Ankal,
ReplyDeleteNi Coastal Union na siyo Coast Union kama iliyoletwa habari ya sare kati ya Timu za Coastal Union Vs Simba.
Mdau
Mgosi wa Kaya
Tangamano, Tanga