Familia ya Bw.BAKARI NYAMBI wa Temeke Dar es Salam wanakumbuka kifo cha baba yao
mpendwa Bw.BAKARI NYAMBI kilichotokea tarehe 22.09.2014 siku ya Alhamisi na kuzikwa
Ijumaa hapa DSM.Leo ni siku ya kumbukumbu yake mpendwa wetu Bakari Nyambi,kama
ndugu jamaa na marafiki wa familia hiyo tunaomba kushirikiana katika kumuombea kwa mungu
siku zote za maisha yetu.
Tulimpenda sana hila Mungu alimpenda zaidi (‘TUKUMBUKE MANENO WANAYOTUELEZA
WAZAZI KWANI YANA FAIDA KWA MAISHA YA BAADAE HASA SHULE’ huo ndiyo ulikuwa usemi
wa baba yetu mpendwa kwa vijana wake.)
POLENI SANA FAMILIA YA BAKARI,NAMFAHAMU TULIFANYA NAE KAZI AIPORT DSM.MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA.RIP BAKER
ReplyDelete