Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa watumishi wa serikali na taasisi zake iliyofanyika jana Agosti 29, 2014 mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani.
Masoko, na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, akizungumza kwenye semina ya siku moja ya watumishi wa serikali na taasisi zake iliyoandaliwa na Mduko huo mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ijumaa Agosti 29, 2014.
 Mwanaasemina akipitia utaratibu wa semina ya siku moja ya watumishi wa serikali na taasisi zake iliyoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Agosti 29, 2014.
Mkurugenzi wa Operesheni wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema Muro, (Kulia), Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko huo, Constatina Martin ,Katikati) na Meneja Utawala, Neema Kuwite, wakibadilishana mawazo muda mfupi kabla ya mkuanza semina ya siku moja kwa watumishi wa serikali na taasisi zake iliyoandaliwa na Mfuko huo mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani Ijumaa Agosti 29, 2014
Meneja Masoko, na Mawasiliano, wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, (Kushoto), akiwaongoza Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Utumishi, George Yambesi, (Kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo, Adam Mayingu, kuelekea ukumnbi wa semina ya watumishi wa serikali na taasisi zake mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ijumaa Agosti 29, 2014.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi, George Yambesi, (Kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, wakati akiwasili kufungua semina ya siku moja ya watumishi wa serikali na taasisi zake mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani Ijumaa Agosti 29, 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...