Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC
Mnyakongo zilizopo Kongwa mkoani Dodoma akiwa pamoja na Naibu Waziri wa
Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Tuguluvala Simbachawene na
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu,
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai,
Waziri wa Ujenzi Dk John Pombe Magufuli na Mbunge wa Afrika Mashariki
Adam Kimbisa.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia jiwe la msingi mara baada ya kufungua
mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo zilizopo Kongwa
mkoani Dodoma wanaoshuhudia ni pamoja na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, George Tuguluvala Simbachawene na Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati akitembelea mradi wa
nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo zilizopo Kongwa mkoani Dodoma.
Mradi huo una jumla ya nyumba 44.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza katika hafla hiyo jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...