Vijimambo Blog kwa ushirikiano wa pamoja na Ubalozi wa Jamhuri ya Muunagano wa Tanzania ikiwemo Jumuiya ya Watanzania DMV inawaletea miaka 4 ya Vijimambo ikiutangaza Utalii wa Tanzania na kukemea ujangili siku ya September 13, 2014. Njoo ujivunie maliasili na utalii wa nchi yako sote kwa pamoja yunaweza kuitangaza nchi yetu na kukemea ujangili kwa kauli moja yenye nguvu inayosikika kimataifa.
Juu na chini ni Ukumbi wa sharehe ya mchana kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 11 jioni
add ni 3 Reserch  Court, Rockville, MD 20850 na baadae usiku ni Hall la Oxford 9700 Martin Lurthers King Jr HWY, Lanham, MD 20786 kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 9 alfajiri
Vyakula vya kitanzania Burudani ya kila aina karibu tuitangaze Tanzania kimataifa. 

Kwa Wajasiliamali watakaopenda kuweka meza zao mwisho wa kujisajili ni Sept 5, 2014 tafadhali wasiliana na wanakamati Baraka Daudi 301 792 8562, Tuma Kaisi 301 433 4311, Iddi Sandaly 301 613 5165, Asha Nyang;nyi 301 793 2833, Mayor Mlima 301 806 8467 na Julius Katanga 202 400 4218

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...