Hatimaye ratiba ya mchezo wa ngumi kwa mashindano ya Jumuiya ya Madola imetolewa leo tarehe 24/07/14 baada ya zoezi la kupima uzito na afya lililofanyika kuanzia saa 2.00 hadi saa 4.00 Asubuhi kwa saa za Scotland, kwa mabondia na waamuzi wote wanaotegemea kushiriki mashindano hayo`1.

Ratiba hiyo inaonyesha kuwa mashindanoo yataanza  tarehe 25/07/14 na yatamalizika tarehe 02/08/14.katika ukumbi wa Secc (Hall 4A) na inaonyesha kuwa captain wa timu ya Tanzania Selemani kidunda ndiye atayeanza kupeperusha bendera ya taifa na hatiaye kufatiwa na mabondia wengine kama ifuatavyo:-

Tarehe 25/07/14 saa 1.45 Jioni  (69) kg  
        Kehinde Ademuyiyiwa (Nigeria) v/s Selemani Kidunda (Tanzania)

Tarehe 26/07/14 saa 7.20 Mchana (60) kg
                    Jessie Lartey (Ghana) v/s Nasser Maffuru ( Tanzania)
                                      Saa 1.00 Jioni (64) kg
        Stevin Thanki (Malawi) v/s Fabian Gaudensi (Tanzania)

Tarehe 27/07/14 saa 12.45 Jioni( 52) kg
                         Bye                                   v/s Ezra Paul ( Tanzania)
                                               Saa 1.40 Jioni (8I)kg
                     Mohamed Hakimu (Tanzania) v/s Sumit Sangwan (India)

       Tarehe 28/07/14 saa 7.25 Mchana) (56)kg
        Bashiri Nasir (Uganda) v/s Emilian Patrick (Tanzania)
                                               Saa 1.35 jioni (49) kg
                  Paddy Barnes( Northern Ireland) v/s Hamed Furahisha (Tanzania) 

Taarifa hizi zimeletwa na 

Makore mashaga
KATIBU MKUU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...