Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendela kushoto, akimkabidhi kikombe Mkurugenzi wa Wateja Binafsi na wa kati wa Benki ya CRDB, Nelia Ndosa wakati wa kutoa tuzo zilizotolewa na ULUGURU. Benki hiyo imepata tuzo ya heshima ya Uluguru kutokana na mchango mkubwa uliotolewa na benki hiyo katika kuisaidia jamii ya watu wa Mkoa wa Morogoro.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi na wa Kati wa Benki ya CRDB, Nelia Ndosa kushoto na Mkurugenzi wa benki hiyo Mkoa wa Morogoro Pendo Issey katikati wakiwa wameshikilia kombe walilokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa huo, Joel Bendera hayupo pichani wakati wa utoaji wa tuzo za Heshima za ULUGURU kulia ni mfanyakazi wa benki hiyo.
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB Mkoa wa Morogoro wakiwa wameshikilia kombe walilokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa huo wakati wa kupokea zawadi za Heshima zilizotolewa na ULUGURU AWARD.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Benki ya CRDB pamoja na kombe lao. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Benki ya CRDB pamoja na kombe lao. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...